Mimindoyulejamaamkatili
Member
- Sep 8, 2021
- 36
- 31
Asante nashukuruKaribu sana mkuu
Nashukuru nimekaribiaKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Jamaamkatiliyule kama namuona vile. You are welcome!Habari kama ilivyo mimi ni mgeni humu licha ya kuwa mtembeleaji wa JF kama mgeni ila nimeamua kujisajili.
Naombeni mnikaribishe kwa bashasha
Mimindoyulejamaamkatili
Hapana matendo yangu ni kinyume cha jina langu.Karibu Sana Kwa Jf-GT ila tafadhali jina lako lisisadifu kama lilivyo tusije Tukatoka nduki
AsanteJamaamkatiliyule kama namuona vile. You are welcome!
AsanteKaribu JF
AsanteKaribu sana JamiiForums...
AsanteKila la kheri...
Karibu kiongoziHabari kama ilivyo mimi ni mgeni humu licha ya kuwa mtembeleaji wa JF kama mgeni ila nimeamua kujisajili.
Naombeni mnikaribishe kwa bashasha
Mimindoyulejamaamkatili
AsanteKaribu kiongozi
NashukuruKua na amani