HODI, HODI, HODI TENA!!!!

we mganga upogo aisee?? kujawahi kula BAN la mwezi???
sijaona kama ni tusi la maana, it was a bit provocative to mods, wajifunze kuvumiliana, mbona MEMBE, MAKAMBA Sr & Jr, KINANA, NAPE, MKAPA wanatukanwa na wapo kimyaaaaa
Nipo tuu.... Najitambua ndio maana sijawahi kupata kifungo kirefu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ishu ya mbona fulani kafanya hivi si sawa kabisa kwakuwa hatuwezi kufanya mtazamo wa wengine kuwa wetu....
Wale ni wanasiasa sisi ni jukwaa la great thinkers...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…