Wagen waenzi za maguful niwasumbufu aisee.... Mbwembwe nyingiii.... Mbona sisi hatukuwa iviii..???habari za humu ndani waungwana,, naombeni mnipokee na kunipa ushirikiano wa kutosha kwani mm ni mgeni kwenye jukwaa hili,,ni women,,ahsanteni.
HahahaWagen waenzi za maguful niwasumbufu aisee.... Mbwembwe nyingiii.... Mbona sisi hatukuwa iviii..???
Tumechangamka wagenHahaha
Jina lako limekomaa sanahabari za humu ndani waungwana,, naombeni mnipokee na kunipa ushirikiano wa kutosha kwani mm ni mgeni kwenye jukwaa hili,,ni women,,ahsanteni.
Karibu mgeni;habari za humu ndani waungwana,, naombeni mnipokee na kunipa ushirikiano wa kutosha kwani mm ni mgeni kwenye jukwaa hili,,ni women,,ahsanteni.
Timu shimbaeKaribu mgeni;
Chama-Chadema
Yanga-Timu
Chakula-Kande
Her she and femaleKwani mko wangapi ? Maana hapo naona umeandika ni "women"