Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wallahi fb imehamia hukuWenyeji mpooooo. Habari zenu wana jukwaa,naomba mnikaribishe na mnielekeze,mnisaidie na kunikosoa pale panapohitajika. Hodi tena kwa mara nyingine.View attachment 793622
Haya ya fb yameingia.Wenyeji mpooooo. Habari zenu wana jukwaa,naomba mnikaribishe na mnielekeze,mnisaidie na kunikosoa pale panapohitajika. Hodi tena kwa mara nyingine.View attachment 793622
Umefanya vyema dogo maana kuja kwako usingeweka picha tusingekukaribisha kwa furaha ..karibu hapa ndo nyumbani ukiona kimeiva usile mpaka ukaribishwe na wenye shamba.Wenyeji mpooooo. Habari zenu wana jukwaa,naomba mnikaribishe na mnielekeze,mnisaidie na kunikosoa pale panapohitajika. Hodi tena kwa mara nyingine.View attachment 793622
Facebook unatumia jina gani.Wenyeji mpooooo. Habari zenu wana jukwaa,naomba mnikaribishe na mnielekeze,mnisaidie na kunikosoa pale panapohitajika. Hodi tena kwa mara nyingine.View attachment 793622
Kiapo kibaya Lubede. Usipende kuapia vitu vya kijinga kama hivyohuyo ni mwalimu,TECNO nilishaapa kutokuja kutumia wallah!
Asante ndugu. Haya weka namba nikuingizie fasta. Nisendi hayo mambo ya kubaniwagaHahahah karibu sana kijana.......ila kuna namba ntakupa ulipie hela ya kodi JF hii ni sheria usipotoa tunakupa ban!!
Asante .Ndo naanza mkuu...Umemaliza shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karibu sana
Huyo ni wewe eenh?
jina la mkuu umelijulia wapi?? acha ujinga hebu tupe ID ya zamaniAsante .Ndo naanza mkuu...