Hodi hodi hodiiii

mmh...ninahisi harufu ya multiple id's hapa!

mkuu kuna mtu alichukua kiselula changu, so akataka kujoin jf kisir, kumbe me member, haraka yke kajikuta kaingia kwa id yngu, cse nilsevu paswrd,nilgundua baada ya mm kutaka kuingia jf nakuta jina tofaut
 
mkuu kuna mtu alichukua kiselula changu, so akataka kujoin jf kisir, kumbe me member, haraka yke kajikuta kaingia kwa id yngu, cse nilsevu paswrd,nilgundua baada ya mm kutaka kuingia jf nakuta jina tofaut

Haya mkuu...nimekupata
 
Baada ya hapo ukafanyaje watu8?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…