hodi ! hodi ! humu ndan

karibu sana msomi humu ndani,tunasubiri michango yako kwa hamu....
 
nasubiri mnikaribishe xaxa

Kuna mwingine nimemwona anajiita vice muce haya wewe vice udom na naona jf itajaa ma-vice mwaka huu ila karibu.

Halafu huo mtindo wa uandishi hapo kwenye nyekundu ni wa ki-facebook, huku Jamiiforums hua tunatumia maneno kamili na sahihi, ukiweza pia utarekebisha kama hutojali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…