Official Chamimi
New Member
- Jan 8, 2018
- 4
- 0
Captain Hujawahi kumwacha mtu salama..[emoji23][emoji23]Sasa kama unataja jina rasmi kwanini usingeliweka hilo hilo kwa ID?
[emoji16][emoji16] usichelewe lindo leo!
Hii hainaga kufell captain[emoji16][emoji16][emoji16] usichelewe lindo leo!
Hahahhaah si ni utambulisho?Sasa kama unataja jina rasmi kwanini usingeliweka hilo hilo kwa ID?
.[emoji23][emoji23][emoji23]hadi wanaume?Chura ipo?
Hahaha mwambie wewe labda atashawishika zaidi kuliko nikimwambia mimi.Hahahhaah si ni utambulisho?
Mwambie aweke na picha[emoji23]
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Hahaha mwambie wewe labda atashawishika zaidi kuliko nikimwambia mimi.
Hodi hodi jamaani, wenyeji mpo??
Mimi ni mgeni humu, sijawahigi ingia katika familia hii na kuwajulia hali.
Naomba nipokelewe na kukaribishwa kiroho saafi...
Official Chamimi ni jina tuu, Lakini jina langu rasmi ni Samir, natumai na nataraji kuwa na nyinyi kuanzia sasa na kuendelea...
Sent using Jamii Forums mobile app
.[emoji23][emoji23][emoji23]hadi wanaume?
Kweli ushakuwa zobaa wa chura.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.