Hodi hodi jamani

mbuvu

Member
Joined
Jul 3, 2009
Posts
65
Reaction score
14
Naomba niungane na wana jf katika kujadili mambo mbalimbali hasa ya mustakabali wa nchi yetu.
 
karibu sana, hali ndio kama uionavyo viongozi wetu wa nchi hii hawajatoa miongozo sahihi ya kujikwamua kiuchumi(maisha ya walala hoi),sijui ndg yetu una dira gani katika hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…