Hodi hodi katika jamii ya JF !!!

BAOBAO

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
1,874
Reaction score
555
Nimekuwa mfatiliaji wa JF kwa muda,lakini sasa nimeamua kuingia ndani ya ngoma kucheza na sio kuwa mtazamaji wala mshabiki wa JF.Ombi langu kwenu kama kama jogoo la shamba liliongia mjini;kwa kujengana na kufarijiana katika mambo yote,kwa heshima tuliojaliwa kama Waafrika .Asante sana kwa kunikaribisha JF !!!,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…