Engineer Hassan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 477
- 504
- Thread starter
-
- #21
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usijali mkuu.sawa injinia karibu sana, uwe unatoa ujuzi kiaina hapa basi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa nini mkuu?Hyo avatar kweli ni wewe kabisa,
nishakaribia paprika ,mambo vipi?Karibu mlangoni mkuu! Huko ndani ni kwa wenyeji tu!
Ukimchukua. We unatoka Kongo nini?Mwanamke gani huyo wa watu nimemchukua??
Mbona mi sikuoni huku ndani mkuu?Karibu mlangoni mkuu! Huko ndani ni kwa wenyeji tu!
Kivipi mkuu?Ukimchukua. We unatoka Kongo nini?
Nilitumia sentensi shurutia ukanijibu kwa hali timilifu yakinishiKivipi mkuu?
[emoji38] [emoji38] Engineer banaBasi mororoooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilitumia sentensi shurutia ukanijibu kwa wakati timilifu yakinishi
Lazima ajue lugha vizuri sio kucheza na vyuma tu huko. Yatatupata ya Sizonje hapa jukwaani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
acha kumtesa injinia na mambo ya lugha unamchanganya
Poa!nishakaribia paprika ,mambo vipi?
Ha ha ha ha ha haLazima ajue lugha vizuri sio kucheza na vyuma tu huko. Yatatupata ya Sizonje hapa jukwaani
DaahNilitumia sentensi shurutia ukanijibu kwa hali timilifu yakinishi
Daah bora useme wewe mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
acha kumtesa injinia na mambo ya lugha unamchanganya
nashukuru kusikia hivyo.Poa!
Aisee,paprika peke yake naona ndo amepata mambo...Aseehnishakaribia paprika ,mambo vipi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kizaliwa chema hicho mkuu.Aisee,paprika peke yake naona ndo amepata mambo...Aseeh
Mazingira.
Haya bhana mkuu [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mhandisi wa madini hapa, unaweza ukanisaidia kwenye rahabilitation nitakapofunga mgodi [emoji111]️