WanaJF, habari za siku? Maisha yenu yanaendaje?
Basi kwa kifupi mliopo Mwanza
msituogope tuonane tunakuja huko kwa shughuli ya sherehe maarufu na muhimu kabisa ya Uhuru wa nchi yetu tulishazoea kuiita tisa Desemba.
Namalizia uzi huu kwa kuwaulizeni JF members kuwa, je itakuwa vizuri sherehe hizi kufanyika kwa kuhama hama kama za kuwasha na kuzima Mwenge wa Uhuru? Je, kwanini Mwenge wa Uhuru usiwe unawashwa siku hiyo ya tisa Desemba?