Dr-of-three-Phd
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 202
- 30
Nilikuwa naelekea mjini nikiendesha gari langu na nikagongwa ubavuni kushoto na gari la jamaa aliyetokea kwenye barabara ndogo akakimbia nikaweza kuchukua namba ya gari lake, nifanyeje nipate details za gari hilo ili niendelee na kesi?
Asante kwa msaada wenu
Mdau
Asante kwa msaada wenu
Mdau