Dr-of-three-Phd
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 202
- 30
Nadhani busara ni kureport polisi kwanza kabla hatua zaidi hazijachukuliwa! Ila ni lazima ushahidi uwepo maana isiwe ni mtu una kisa naye ukaamua tu kumtafutia sababu!
Ni kweli cha kwanza polisi na ingekuwa vyema kuripoti wakati huo huo wa ajari na pia unamjulisha insurer wako kuhusu hilo ili yeye pia aweze kukulipa au kukutengenezea gari yako. Kwa kutumia maelekezo yako insurer wako anaruhusiwa kumshitaki huyo jamaa na kudai fidia (subbrogation). Utata wowote wa kuchelewa kuripoti huwa unaleta mashaka na unaweza usifaidike na chochote hata kama namba za huyo jamaa unazo.