Hodi hodi naingia...


Yote majibu hapo .. mama pretty 😁😁
 
Mbona una maswali mingi kwani wee ni polisi[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata ningekua Polisi maana ningemfikisha panapotakiwa .
Mbona una maswali mingi kwani wee ni polisi[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema Kocha wa Dunia Mwijuma Muumini mzeee wa mshike mshike sijui nini nini alisemaga kua , kuolewa ni Sheria tu ,Ila kuzaa ndo majaaliwa !!.


Ulikua umeshazaliwa ?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote majibu hapo .. mama pretty [emoji16][emoji16]
Tia gundi ya mbao hapa !!.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe watu ndo wanakaribishwa hivi humu.. ebu niacheni na nnawajua wote humu msnione mgeni mkafikiri jf nmeijua leoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Hahahhaha jamaan Mwanamke pretty , hata majumban kwetu ,mgeni hukaribishwa kwa moyo mkunjufu na na wenye uvuguuvugu.

Huon mzeee wa kaya toka ahamie chattle kaaa mweusi, sababu chattle hamna ujotojoto wa wagen?.
[emoji23][emoji23] kumbe watu ndo wanakaribishwa hivi humu.. ebu niacheni na nnawajua wote humu msnione mgeni mkafikiri jf nmeijua leo[emoji23][emoji23][emoji2088][emoji2088]
Hata ivo Mimi kuna MTU kaja speed ohoooo Carlos ,wewe bana ndo Mr.Right nanyota imekuangia wewe..ohoooooo kuna mwanamke uko anakuita !!.

Kumuuliza nani?? Anasema anaitwa Mama pretty .

Ndo sababu nmekuja kwa speed ya hypersonic



Kweli nashukuru nimekukuta ID na Avatar yako vikisadifu kauli ya wazungu isemeyo "Lady you are gorgeous " .. ( kithungu kilinipita pemben ,najuaga maneno ya mahaba tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…