kabisa yan mkuu,we jilipue cunajua hawa urithi wetu wanahuruma sana huwa hawependi kuona kaka zao tunapata tabu ndogo ndogo kama hizHahah unamaanisha nimuungie bandoo la maisha ??? Anaweza kunionea huruma 'Akanipea'
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona, wana mioyo ilojaa huruma sana na inapendeza waendelee kua ivokabisa yan mkuu,we jilipue cunajua hawa urithi wetu wanahuruma sana huwa hawependi kuona kaka zao tunapata tabu ndogo ndogo kama hiz
mfate chumbani sasa huku wanga wengi wameshiba ugali saa hii, wakija utakimbizwaUmeona, wana mioyo ilojaa huruma sana na inapendeza waendelee kua ivo
Sent using Jamii Forums mobile app
mfate chumbani sasa huku wanga wengi wameshiba ugali saa hii, wakija utakimbizwa
Abee
Nakuona mkuu carlos
mmhhh unavyoitaka sasa !! Uko wapi uagize kinywaji ntaja lipiaAbee
We lipia tu nshaagiza
We lipia tu nshaagiza
Bila shaka huo uzi upo jukwaa la MMUMnipokee wajameni... kuna uzi umenivutia humu mpaka nmeamua kuwa member.
Nawapenda jamiiforums members
1 mpaka 10
Ingekua ni hesabu za kukadiria basi ungewekewa ββBila shaka huo uzi upo jukwaa la MMU
1 mpaka 10
Wewe tuuu
ππππ chizi ww kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chizi ww kabisa