Hodi Hodi Najitambulisha kwenu leo.

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Ntanguliza shukurani za dhati kwa aliyetengeneza binadamu bila shaka ni mwenyezi mungu na muweza ya yote,
Pili na mshukuru aliyempa mwongozo wakupata elimu na kutengeneza chombo kama hiki na mungu amzidishie.
Mwisho nawashukuruni nyote mliopo kwenye huu mjengo ndani kwani bila nyinyi na huu mjengo utakuwa nikazi bure hivyo uwepo wenu ni ufansi wa chombo hiki!!
Kadri tunavyoenda na imani nitajifunza na kuelewa matumizi ya chombo hiki.

Kwa kuwa leo ni siku ya wa BABA na waombea siku njema wote wale wanaoitwa wababa wa majukumu siyo kuitwa baba na majukumu unayakimbia.
Asanteni.
 
Karibu jamvini mkuu. Umetokea wapi?
 
Kivipi mkuu nyumbani kwangu au kuja duniani??

ha ha ha aaaah!! Mkuu Shevchenko, mara mojamoja wageni huwa wanajitambulisha na sehemu wanazotokea, mfano mimi najulikana nipo Sumbawanga..............wewe ni Ukraine??
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha aaaah!! Mkuu Shevchenko, mara mojamoja wageni huwa wanajitambulisha na sehemu wanazotokea, mfano mimi najulikana nipo Sumbawanga..............wewe ni Ukraine??
Mkuu umejuaje nikweli nipo hapo Ukraine!
 
Asanteni lakini naona mna madaraja je haya madaraja yanamaanisha nini??mimi mgenimaeneo haya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…