Mabibi na Mabwana,
Naingia na kujitosa katika hii jumuia ya jamii forum kama member mpya kabisa. Natarajia kujifunza mengi kutoka kwa wanajumuia waliotukuka katika kila aina ya nyanja katika ukumbi huu. Natanguliza shukrani.
Mabibi na Mabwana,
Naingia na kujitosa katika hii jumuia ya jamii forum kama member mpya kabisa. Natarajia kujifunza mengi kutoka kwa wanajumuia waliotukuka katika kila aina ya nyanja katika ukumbi huu. Natanguliza shukrani.