Hodi Hodi.... NIMEJIREKEBISHA WAKUU...........!!

NOT FOUND

Senior Member
Joined
Mar 14, 2011
Posts
158
Reaction score
59
Naahidi kuwa mwanachama mwema wa J.F

Wale wote niliowakosea tusameheane,

tunajenga nyumba moja hivyo tusigombane kwa sababu ya kugombea fito.

-

Regards

[*****]
 
Hahhahahaaaaa
We ni nani??
Ni pm chap mkuu
 
Naahidi kuwa mwanachama mwema wa J.F

Wale wote niliowakosea tusameheane,

tunajenga nyumba moja hivyo tusigombane kwa sababu ya kugombea fito.

-

Regards

[*****]

REJAO alikuponza!
 
Lazima ujirekebishe maana hapa hakuna linaloshindikana.Karibu sana.
 
Pole na Ban, karibu tena. ID ya ngapi hii Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…