Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wasap tena bibie?Karibuni pia kwenye group letu la whatsapp,admin atawaad
Karibuni pia kwenye group letu la whatsapp,admin atawaad
Karibuni pia kwenye group letu la whatsapp,admin atawaad
karibu Irene cute,hope utakuwa na michango mizuri hasa jukwaa la MMU kama Id yako Inavyo onyesha
Hahaha. Hivi kumbe hiyo "Qt" iko badala ya cute? Dah! Uzee unanijia vibaya. Sikuwa na idea kabisa.
Hahaha. Hivi kumbe hiyo "Qt" iko badala ya cute? Dah! Uzee unanijia vibaya. Sikuwa na idea kabisa.
Mara nyingi huwa nilikuwa naishia kusoma tu post humu tangu mwaka jana mwanzoni sasa nimeamua kujiunga rasmi
Hahaha. Hivi kumbe hiyo "Qt" iko badala ya cute? Dah! Uzee unanijia vibaya. Sikuwa na idea kabisa.
Hahaha. Hivi kumbe hiyo "Qt" iko badala ya cute? Dah! Uzee unanijia vibaya. Sikuwa na idea kabisa.
Hauko peke yako bro..Tumeshangaa wote..Mi nilishaitafsiri vingine kabisa..
Mie mwenyewe nimebaki naduwaa.
Hauko peke yako bro..Tumeshangaa wote..Mi nilishaitafsiri vingine kabisa..
mi nilijua Qt ya mitihani... tukazane tu mzee mwenzangu na spid ya vijana