Hodi hodi ukumbini!

hukumundo

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2011
Posts
850
Reaction score
438
Nimefurahishwa na ukumbi huu, nikaona heri nami nijumuike ili tubadilishane mawazo, tupashane habari na tujiendeleze kwa namna mbalimbali. Asanteni kwa kunihimiza nijiunge.
Hukulu wino
 
Nami nimeona nije walau tuchangie mawazo pamoja wans jamvi! Kuna kitu kimenikuna sana! Watanzania tumepata Uhuru huu lakini tumeanza nao kwa kulaumu kila kitu! Hata mtu akimchangia mgonjwa aende Hosp. ni issue! Mmh!
 
Nami nimeona nije walau tuchangie mawazo pamoja wans jamvi! Kuna kitu kimenikuna sana! Watanzania tumepata Uhuru huu lakini tumeanza nao kwa kulaumu kila kitu! Hata mtu akimchangia mgonjwa aende Hosp. ni issue! Mmh!

Karibu kwanza ndani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…