Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu.Karibu
Mbona unakuja na mikwala ya tija? Anyway, Karibu! Angalizo, kila demu humu ana mtu wake! 😂 😂 😂 😂 😂Nashukuru Mungu leo niko live jamii forum naombeni ushirikiano mwema husasani wenye tija. Nawasilisha hoja
Ramadhan MubarakAsante sana mkuu.
Mkuu anakupiga mkwara huyoSijaja kuoa humu mkuu
jamani ukipata upenyo unaoa, ni utani anyway!Sijaja kuoa humu mkuu
Acha kumtisha utasababisha asichangie Mada kuogopa mkwara wako 😀😀😀Mbona unakuja na mikwala ya tija? Anyway, Karibu! Angalizo, kila demu humu ana mtu wake! 😂 😂 😂 😂 😂
hapana anajua ni utani!Acha kumtisha utasababisha asichangie Mada kuogopa mkwara wako 😀😀😀
Hapo Sawa mgeni asiwe na hofuhapana anajua ni utani!