Hodi Hodi viongozi.

Mkwakwasu75

New Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
3
Reaction score
0
Baada ya kuzunguka maeneo mbali mbali,Nimeona hapa ndiyo mahali ambapo naweza kukutana na jamii na kujisikia na mimi nipo kwenye hii globe yetu.Hivyo babisha hodi waheshimiwa.
 
baada ya kusoma jamii forum na kupata mafunzo na ushauri mwingi nimeona hapa panafaa sana. Nikaribisheni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…