Hodi hodi wakubwa zangu

Hodi hodi wakubwa zangu

Uneshajua Ku-pm mtu maana namba zangu nshakutumia huko
 
me mgeni naombeni mnipokee na naomba mwongozo
Karibu sanaa wee ni me au ke? Maana kuna mapokezi ya ke na me
Kama ni ke nipm mimi mbere na kama ni me kuna huyo hapo kagwima juu kashapm no nomber yake mtafute
Ke nipm mimi mwenyewe
 
karibu mkuu,fanya uje PM nkuelekeze baadhi ya rules za humu.
 
nisaidieni namna ya Kubadili mwaka kune profile.....coz n 1992 na sio 1962[emoji122] [emoji122]
 
Habari wakuu ,mm ni mgeni katika uwanja huu wa JF,but nakuja na swali VP hili
website ya KUPATANA ni nzuri au imejaa utapel,natanguliza shukran wada,nawaheshmu SNA na ninamiin tutajengana kifira zaid
 
Back
Top Bottom