MBWAGA II Member Joined Aug 1, 2015 Posts 14 Reaction score 5 Feb 12, 2017 #1 Habari zenu wakuu, mimi ni mwanachama mpya wa jf,japo ni msomaji mzuri tu wa comment za watu bila kuwa mwanachama rasmi.JF imekuwa mtandao wangu bora wa kijamii tangu kitambo sana.Mnipokee na kunikaribisha. Asante,Jumapili njema.
Habari zenu wakuu, mimi ni mwanachama mpya wa jf,japo ni msomaji mzuri tu wa comment za watu bila kuwa mwanachama rasmi.JF imekuwa mtandao wangu bora wa kijamii tangu kitambo sana.Mnipokee na kunikaribisha. Asante,Jumapili njema.
Daby JF-Expert Member Joined Oct 26, 2014 Posts 33,894 Reaction score 76,810 Feb 12, 2017 #2 Poa poa mkuu karibu
Freyzem JF-Expert Member Joined Jun 29, 2013 Posts 10,120 Reaction score 24,667 Feb 12, 2017 #3 Yaani tangu tar1/8/2015 upo huku tu, huchangii chochote..!? [emoji15] [emoji15]
back town JF-Expert Member Joined Jul 8, 2015 Posts 471 Reaction score 365 Feb 12, 2017 #4 Ok join us
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Feb 12, 2017 #5 Karibu mpaka kwenye vyombo,uvioshe vizuri.
MBWAGA II Member Joined Aug 1, 2015 Posts 14 Reaction score 5 Feb 14, 2017 Thread starter #6 Asanteni nyoote kwa ukaribisho.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Feb 21, 2017 #7 Karibu sana JF.