Hodi hodi wana JamiiForums

kwesunga

New Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
1
Reaction score
2
Ndio nimejiunga jamani naommba mnipokee niko huku kwesunga navutiwaga Sana na mambo ya jamii forum nishajifunnza vitu vingi Sana kupitia humu,ingawa nilikuwa natembelea kama mgeni.Naomba mnipokee.
 
Ndio nimejiunga jamani naommba mnipokee niko huku kwesunga navutiwaga Sana na mambo ya jamii forum nishajifunnza vitu vingi Sana kupitia humu,ingawa nilikuwa natembelea kama mgeni.Naomba mnipokee.

karibu sana #kwesunga , kwa ma "great thinker" , ingawa unatumia jina la uongo , kwani ndo maisha ya JF yalivyo, yaani karibu watu wote wana majina uongo /siri. sijui JF moderators and admin walishakaa waka jitathmini juu ya hilo jambo? Ila kuwa huru kutoa mawazo yako kwa kadri kanuni za JF zinavyotaka. Mwabeja xana.
 
Ndio nimejiunga jamani naommba mnipokee niko huku kwesunga navutiwaga Sana na mambo ya jamii forum nishajifunnza vitu vingi Sana kupitia humu,ingawa nilikuwa natembelea kama mgeni.Naomba mnipokee.

karibu uwe mkweli usiyefinyanga maneno na sioni sababu kuficha jina
 
pita tu ila humu wengi wake za watu na michepuko ya watu kuwa makini kuna matapeli na magubegube kuna timu kubwa mbili

timu kibamia na timu mabwawa ila hawa mabwawa wanawaponda sana vibamia

Humu wanawake wanaipinga free p yaani ukiwa huna hela wadada wazuri utaendelea kuwaita shemeji tu yaani wanapenda hela kama wanaishi benki
ila usishangae id mpya pekee ndio zinazotafuta wachumba hawa ni senior members ila hawajionyeshi

mtu tajiri kuliko wote humu ni le mutuz ukibishana nae utaitwa masikini utaitwa mburula

kuna jukwaa pendwa linaitwa MMU yaani hili ukiomba ushauri tegemea lolote kuna mazuri na mabaya ila mabaya yaache beba mazuri

ukitaka stress nenda jukwaa la siasa huko ni hatari unaweza ukajikuta unabishana hata na rais au mbunge ila ukiisapoti ccm ujijue kabisa umetoa akili zako

humu kama tandale kuna wambea watetaji wezi kuna watu wanafake maisha humu bwana watu wote wana magari kasoro mimi humu kila mtu msafi kasoro mimi
karibu sana
wako katika ujenzi wa jamiiforum

MO11
 
Last edited by a moderator:
...! karibu! lakini umeingilia mlango wa nyuma wa wenye nyumba!,... Mlango wa wageni upo kule chini kabisa, unaitwa "Jukwaa la utambulisho, JF Intro."
 
Karibu ucheke, unune, ubishane, utukanwe, utukane, udharau, udharauliwe.. n.k.
Ila, hapa umefika utoke uende wapi??!!
Yajue maisha kupitia Jf.
 

Hahahahaaaaa mbona hata mm sina garii
 
Last edited by a moderator:
Mwenzio ndio kwanza npo shulee ilo gari ngelitoa wapi

kumbe upo shulee sio shule nilitaka nikuulize shule gani unasoma niwe nakupa lifti ya Tanzania 11
 
kumbe upo shulee sio shule nilitaka nikuulize shule gani unasoma niwe nakupa lifti ya Tanzania 11

Npo vidudu ila nlizaliwa na menoo ndio maana muongeaji sana
 
Npo vidudu ila nlizaliwa na menoo ndio maana muongeaji sana

upo vidudu au upo na midudu ??

hivi mtoto akizaliwa na meno ndio anaongea sana ??

Kama under 18 hujakidhi vigezo ni bora ukasome kwanza
 
upo vidudu au upo na midudu ??

hivi mtoto akizaliwa na meno ndio anaongea sana ??

Kama under 18 hujakidhi vigezo ni bora ukasome kwanza

Nikasome mara ngapi tena na npo kusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…