M Mkaruka Giledi Member Joined Jun 22, 2009 Posts 16 Reaction score 0 Jun 22, 2009 #1 Hodi hodi jamani wana JF....huyu si mwingine bali ni Mkaruka Giledi (Tata Giledi) wa Etaro Makao hadi Ekungu,kwa wale abhagangaji wamenisoma hapoooo....ndani ya jumba la wana JF...Ahsanteni sana kwa mchango wenu ktk jamii.
Hodi hodi jamani wana JF....huyu si mwingine bali ni Mkaruka Giledi (Tata Giledi) wa Etaro Makao hadi Ekungu,kwa wale abhagangaji wamenisoma hapoooo....ndani ya jumba la wana JF...Ahsanteni sana kwa mchango wenu ktk jamii.
The Farmer JF-Expert Member Joined Jan 7, 2009 Posts 1,658 Reaction score 559 Jun 22, 2009 #2 Tata Giledi karibu ndani ya JF
Che Kalizozele JF-Expert Member Joined Jul 20, 2008 Posts 777 Reaction score 50 Jun 22, 2009 #3 Kwa hakika unakaribishwa sana.
M Mkaruka Giledi Member Joined Jun 22, 2009 Posts 16 Reaction score 0 Jun 23, 2009 Thread starter #4 Ahsanteni sana Che Kalizozele na the Farmer...nafurahi kuungana nanyi ktk JF