Kamsweetie
Member
- Oct 30, 2012
- 37
- 23
Karibu sana jamvini, naitwa Katavi ni mlinzi wa jukwaa hili, unaletewa kinywaji na sweetlady, Globu atakuelekeza mitaa ya humu ndani na kukutambulisha kwa wenyeji.Nimefurahi kupata wasaa wakujitambulisha kwenu wana JF, kama lilivyo jina langu mimi ni kamsweetie mpaka tabia, nategema kujifunza mengi kutokana kwenu na vile vile kujuzana mambo muhimu katika jamii yetu!
Wapi mdumange wakukaribisha wageni jamani? Nani yuko kamati ya vinywaji na chakula? :bange: