Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nashukuru admn kwa kupata nafasi hii ya kuwa mmoja ya wana JF kwani naamini ni sehemu ambayo nitazidi kujifunza mengi kwani jamvi hili ni zaidi ya darasa!na nipende kuwasali heshima yenu wakubwa na habari zenu kwa vijana. naomba ushirikiano wenu ahsanten!!