Szczepan Guevara Jr Member Joined May 28, 2013 Posts 91 Reaction score 17 May 30, 2013 #1 habari zenu wana JF naomba mnipokee kwa amani na upendo mimi ni mgeni kwenye hili jamvi ila sina kamba mguuni na tumain mmenikaribisha kwa moyo mmoja
habari zenu wana JF naomba mnipokee kwa amani na upendo mimi ni mgeni kwenye hili jamvi ila sina kamba mguuni na tumain mmenikaribisha kwa moyo mmoja
NGANU JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 1,919 Reaction score 393 May 30, 2013 #2 Karibu mkuu JF, jaribu kutembelea kila jukwaa kwani utamu unatofautiana.
kbosho JF-Expert Member Joined Jun 4, 2012 Posts 13,034 Reaction score 6,571 May 30, 2013 #3 karibu nyumban
WABHEJASANA JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 4,225 Reaction score 869 May 30, 2013 #4 Karibu sana lakini jiandae kukumbana na na Great Thinker.
Szczepan Guevara Jr Member Joined May 28, 2013 Posts 91 Reaction score 17 May 30, 2013 Thread starter #5 nashukuru wana JF na natumaini kupata changamoto nzuri na pia kufahamia
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 May 30, 2013 #6 Karibu sana JF mkuu.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 May 30, 2013 #7 Karibu sana JF...
bily JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 8,029 Reaction score 5,796 May 30, 2013 #8 Karibia mkuu ndani
Globu JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 8,659 Reaction score 2,227 Jun 1, 2013 #9 Karibu JF.