Hodi!! Hodi!!! wana JF!!

Hodi!! Hodi!!! wana JF!!

Bukijo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2010
Posts
208
Reaction score
71
Wana Jamii Forum hodii hodiii,nilikua bado sijafahamu kwamba kuna chombo cha ajabu kama hiki ambacho mtu ana uhuru wa kutoa maoni na kubadilishana mawazo!.
Nashukuruni sana wadau kwa kubuni na kuendesha chombo hiki,
Mungu awabariki sana!.
 
Back
Top Bottom