Hodi hodi waungwana!

tatum

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
5,786
Reaction score
4,491
Waungwana wa jamii forum mie ni mgeni humu naomba mnikaribishe
na bila shaka ntafaidika na mengi ya elimu burudani na makala nyingi za
nyie wakongwe

natanguliza shukrani zangu na upendo kwenu

nawapenda sana
 
Karibu. Ila jitahidi usiwe na aina ya lugha mbaya kama @beira beby boy na akili ya kushikiwa kama jingalao. Usiwe mpuuzi kama [HASHTAG]#lemutuz[/HASHTAG]
 
Kwa kuona tu id yako mawazo yananpeleka km ww n ke. Karbu sn ogopa sn pm na watu wenye iq kubwa ya uandishi ukahisi wana phd, ndo karama zao hzo wengi wao la 4 ya mkoloni [emoji1] [emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…