Hahahaaaa...jinsi yake unaitakia nini?Karibu mkuu.
We Ni me or Ke?
Utaita mpk wanaume wenzio uko pmKaribu sana kama ww ni ke njoo pm ujaze form ya kujiunga JF.
Nazingua tu usifikiri niko serious. Hujambo lakini?Utaita mpk wanaume wenzio uko pm
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mzee wa fursaKaribu sana kama ww ni ke njoo pm ujaze form ya kujiunga JF.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Utaita mpk wanaume wenzio uko pm
Atukai mbali na fursa mkuu. Yule mwenzangu naona bado hajajua kama kuna fursa mpya huku.[emoji1] [emoji1] [emoji1] mzee wa fursa
Malizanenii na inna kwanza kabla ya kurukia kwingineAtukai mbali na fursa mkuu. Yule mwenzangu naona bado hajajua kama kuna fursa mpya huku.
Ushajua jinsia yake kabla hajatajaNina mume wangu humu anaitwa Aspirin karibu lakini plz usimkaribie.
SijamboNazingua tu usifikiri niko serious. Hujambo lakini?