Tutajuana mbele kwa mbele mkuuUshajua jinsia yake kabla hajataja
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa mkuuTutajuana mbele kwa mbele mkuu
Huyo nisha malizana nae.Malizanenii na inna kwanza kabla ya kurukia kwingine
Acha uhunii[emoji23] [emoji23] [emoji23]Karibu sana kama ww ni ke njoo pm ujaze form ya kujiunga JF.
Yaaani [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utaita mpk wanaume wenzio uko pm
Uhuni upi tena wakati inabidi ajaze form.Acha uhunii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Fomu gani ya kujaza sirini!?haya ushajua jinsia yake?Uhuni upi tena wakati inabidi ajaze form.
Hii fomu inabidi ajazie kule pm maana haitakiwi kila mtu aone mkataba wake. Bado sijajua lakini nitafaham tu.Fomu gani ya kujaza sirini!?haya ushajua jinsia yake?
Ishu gani hyo mnatumiana[emoji19] [emoji19]Hii fomu inabidi ajazie kule pm maana haitakiwi kila mtu aone mkataba wake. Bado sijajua lakini nitafaham tu.
Alafu ile ishu yako nakutumia leo jana nilipitiwa na usingizi.