Indoraptor
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 249
- 506
Umepimwa afya?Leo nimefurahi kupata "approval" ya kuwa member wa Jamiiforums. Mnipokee kwa mikono miwili kabisa mwanachama mpya.
Hope tutakutana katika majukwaa mbalimbali ya jamvi hili.
Karibu jamvini...jinsia yako tafadhari?Leo nimefurahi kupata "approval" ya kuwa member wa Jamiiforums. Mnipokee kwa mikono miwili kabisa mwanachama mpya.
Hope tutakutana katika majukwaa mbalimbali ya jamvi hili.
MEKaribu jamvini...jinsia yako tafadhari?
Bado sijapimwa mkuu, wanapima wapi?Umepimwa afya?
Njoo PM nikwambie mgeni anataka nini?karibu sana, tukupe nini?
Leo nimefurahi kupata "approval" ya kuwa member wa Jamiiforums. Mnipokee kwa mikono miwili kabisa mwanachama mpya.
Hope tutakutana katika majukwaa mbalimbali ya jamvi hili.
Unafaa kwa matumizi yangu,umeolewa?...Leo nimefurahi kupata "approval" ya kuwa member wa Jamiiforums. Mnipokee kwa mikono miwili kabisa mwanachama mpya.
Hope tutakutana katika majukwaa mbalimbali ya jamvi hili.
Leo nimefurahi kupata "approval" ya kuwa member wa Jamiiforums. Mnipokee kwa mikono miwili kabisa mwanachama mpya.
Hope tutakutana katika majukwaa mbalimbali ya jamvi hili.
Mgeni gani unajua majukwaa
Shukrani sana!Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.
Agiza smart gini popote ulipoHeh heh heh ...
Karibu sana mkuu.. nakupa wiki tatu tuu utafika nilipofika mimi.
Mimi nimefika hapa...
Kila nikilog in JF najikuta nina gari, nina Master's degree, income yangu ni 7-figurres, nikilog out najikuta njaa inaniuma, mfukoni nna mia nne hamsini halafu kijiweni hamna hata gar yakuosha maana hali ngumu wenye magari yao wanaosha nyumbani, hawaleti car wash.
Kila nikilog in najikuta nimekua handsome boy, bingwa wa madem, Expert wa Female Anatomy, najikuta nina tango.
Masikini ya mungu nikilog out kitu chakwanza najiuliza hiki kibamia ntakua mgeni wa nani mimi, ukichanganya na hii sura yakihenga.
Utafika nilipo.
Ila kipimo ni Kiduku, hautakiwi kumzidi huyo