RIZIKI ALLYS MUHUNZI
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 637
- 778
Karibu sana mkuu!!ila umgeweka na picha ungebarikiwa sana asee!!Napenda kuwasalimia habari zenu na poleni kwa majukumu ya kuelimishana ktk jukwaa ili pendwa natumaini tutashilikiana kwa namna yeyote ktk kujenga taifa ili, sitakua ktk upande wwte kiitikadi ila nahaidi nitakua mpenda haki na msema kweli daima mungu awe pamoja nasi ndugu zanguu asanteni sana
Asante sanaKaribu sana ndugu.
Mbona picha nimeweka,nashukuru tupo pamojaKaribu sana mkuu!!ila umgeweka na picha ungebarikiwa sana asee!!
Shukrani sanaKaribu sana jamvini
Napenda kuwasalimia habari zenu na poleni kwa majukumu ya kuelimishana ktk jukwaa ili pendwa natumaini tutashilikiana kwa namna yeyote ktk kujenga taifa ili, sitakua ktk upande wwte kiitikadi ila nahaidi nitakua mpenda haki na msema kweli daima mungu awe pamoja nasi ndugu zanguu asanteni sana
Niambie niitoe vpKaribu sana..ila ungetoa iyo picha au sio
Niambie niitoe vp
Ok asante kwa ushauri usiwe na shaka nimeamua tuKama ni wewe na umependa mwenyewe its okay, but nimekukumbusha tu kwakua ni mgeni humu,ili isijulikane avatar yako, mie mwenyewe mgeni humu.
Asante sanaaKrb sana JF mjukuu wetu..