Hodi hodi

Joined
Mar 9, 2011
Posts
33
Reaction score
5
Wandugu.....mie mgeni.
Naomba kuwa mwenzenu.
Nitaweka vipi picha pembeni mwa jina langu?
 
karibu sana mch.mimi pia ni mch.wa kondoo wa Mungu sijui wewe ni wa aina gani......ila ulipaswa kuingilia kile chumba kingine cha kujitambulisha:welcome:
 
Karibu sana Mch. Habari za Loliondo? Vipi huduma huko?

Kuhusu kuweka picha, nenda kwenye settings, then change avatar!

Barikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…