papaa_ntutu
Member
- Jul 24, 2018
- 34
- 26
asante xana mdauKaribu papaa_ntutu
makao makuu ya chama na serikali.Karibu mgeni
Bu Wapi unapatikana mkuu..?
Ila warangi wazurimakao makuu ya chama na serikali.
hahaha!!! kwann mkuu?Ila warangi wazuri
asante xana mdau
Weusi Na weupe wao wanichanganyahahaha!!! kwann mkuu?
hahaha!!! ndo ukaribie dom mkuu.Weusi Na weupe wao wanichanganya
Sana [emoji818]asante xana mdau
poa sana mkuu...me sio mwenyej sana huku npo huku tangu mei mwaka huu...tumeitikia wito wa mkulu.Mkuu nilikuwepo huko kikazi miaka 5 iliyopita nimemiss kerema ,paranga ,goima mrijo
sawa mdau nmekuelewa.Sana [emoji818]
Xana ✘
mkuu!! pande zip za nchii hii ww wapatikana?Karibu mgeni
Bu Wapi unapatikana mkuu..?
ninavyo sikia huko ni hatari kwa rangi ile uliyosema unaipenda mkuu.Poa mkuu Mimi nilizurura wilaya yote ya kondoa
KaribuHodi wana Jf...member mpya hapa...naomba kukaribishwa.
hahaha!!! me MTZ pure mkuu.kwa nn umeuliza hvyo?Karibu
Ila wewe ni mkongo?