Hodi hodi

Mkuu nilikuwepo huko kikazi miaka 5 iliyopita nimemiss kerema ,paranga ,goima mrijo
 
Kwa Tanzania hii Mimi Kwa mtizamo Wangu wapo vizuri hao weusi ukiwaona ni hatari unaweza kuchepuka kama ni mwepesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…