lunyambabi
Member
- Jan 9, 2013
- 8
- 1
Hodi humu ndani.
Naomba mnipokee jamani katika ulimwengu huu wa watu wenye fikra pevu. Nitashirikiana nanyi kwa uadilifu na utiifu huku nikiheshimu sheria za JF.
Naomba mnipokee jamani katika ulimwengu huu wa watu wenye fikra pevu. Nitashirikiana nanyi kwa uadilifu na utiifu huku nikiheshimu sheria za JF.