Hodi hodi

lunyambabi

Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
8
Reaction score
1
Hodi humu ndani.
Naomba mnipokee jamani katika ulimwengu huu wa watu wenye fikra pevu. Nitashirikiana nanyi kwa uadilifu na utiifu huku nikiheshimu sheria za JF.
 
Hodi humu ndani.
Naomba mnipokee jamani katika ulimwengu huu wa watu wenye fikra pevu. Nitashirikiana nanyi kwa uadilifu na utiifu huku nikiheshimu sheria za JF.

Karibu sana jisikie nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…