Hodi hodii Eritrea, nakuja kutafuta jiko.

Hodi hodii Eritrea, nakuja kutafuta jiko.

Mla Bata

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
7,841
Reaction score
17,491
Wasalam,

Mla Bata nimeukataa ukware, madunga embe sasa mimi basi, mwajuma, sikujua, waseme, zubeda, tumaini, Mimi na nyie baaaasi, natafuta jiko NIOE wakuu na jiwe langu nataka kulirusha nchini Eritrea, moyo wangu umekufa kwa watoto wa "kunama" na "saho"

Wandugu, kama kuna mtu ana uzoefu na kufahamu zaidi jamii ya watu hawa hebu mnisaidie, nimepanga mwisho wa mwaka huu niingie huko nikae hata mwezi kukamilisha Jambo langu, Kama kuna ABC zozote mnipatie waungwana.

Nyongeza: Ni wapi kwa Tanzania hii jamii inapatikana kwa wingi?

Natanguliza shukrani.

Say no to #ukware


Wasalam.
 
Eritrea ilikuwa ni sehemu ya Ethiopia, hivyo Waeritrea na Waethiopia ni damu moja. Kikawaida na masimulizi ya wengi ni watu wenye ujivuni na kujiona sio waafrika, ni watu wa jamii ya kupenda ufahari wa mila, desturi, tamaduni na historia yao ya vizazi na vizazi kurud kwa babu yao Mfalme Daudi. Kuoa Mueritrea ni kama Interracial Marriage kwa Mbantu.

Race ya Kiethiopia/Kieritrea unaweza ipata kwa wingi, Manyara mpaka Singida, Wairaqw, Wasi, Warangi na Wanyaturu ni jamii ile ile though Warangi wao wamefanana zaidi na Wasomali mpaka Lafudhi.

Kama unataka kwenda kupata exposure, nenda ila kama Unataka kutafuta mke mwenye urembo na muonekano bomba unaweza mpata hata Hanang, Katesh, Babati kwa gharama nafuu kabisa.

Wishing you all the best katika hili Broh!!
 
Very useful comment, shukrani mkuu.

Ila hapo kwenye kujiona so waafrika, huwa wanajiona race gani?? 😅
 
Kila jambo ni Nia muhimu usije kumtesa mtoto wa watu coz kule kwao ni kama utakuwa umemsaidia maana Sheria zilizoko huko si mchezo but very beautiful
 
Eritrea ilikuwa ni sehemu ya Ethiopia, hivyo Waeritrea na Waethiopia ni damu moja. Kikawaida na masimulizi ya wengi ni watu wenye ujivuni na kujiona sio waafrika, ni watu wa jamii ya kupenda ufahari wa mila, desturi, tamaduni na historia yao ya vizazi na vizazi kurud kwa babu yao Mfalme Daudi. Kuoa Mueritrea ni kama Interracial Marriage kwa Mbantu.

Race ya Kiethiopia/Kieritrea unaweza ipata kwa wingi, Manyara mpaka Singida, Wairaqw, Wasi, Warangi na Wanyaturu ni jamii ile ile though Warangi wao wamefanana zaidi na Wasomali mpaka Lafudhi.

Kama unataka kwenda kupata exposure, nenda ila kama Unataka kutafuta mke mwenye urembo na muonekano bomba unaweza mpata hata Hanang, Katesh, Babati kwa gharama nafuu kabisa.

Wishing you all the best katika hili Broh!!
Kweli kabisa Wairaq,warangi,wanyaturu,wanyiramba,wambulu wanafanana sana na waethiopia hadi wasomali
 
Wasalam,

Mla Bata nimeukataa ukware, madunga embe sasa mimi basi, mwajuma, sikujua, waseme, zubeda, tumaini, Mimi na nyie baaaasi, natafuta jiko NIOE wakuu na jiwe langu nataka kulirusha nchini Eritrea, moyo wangu umekufa kwa watoto wa "kunama" na "saho"

Wandugu, kama kuna mtu ana uzoefu na kufahamu zaidi jamii ya watu hawa hebu mnisaidie, nimepanga mwisho wa mwaka huu niingie huko nikae hata mwezi kukamilisha Jambo langu, Kama kuna ABC zozote mnipatie waungwana.

Nyongeza: Ni wapi kwa Tanzania hii jamii inapatikana kwa wingi?

Natanguliza shukrani.

Say no to #ukware


Wasalam.
Hawafai labda uwe na bahati sana. Nilikuwa na uhusiano na mmoja wao wakati nafanya masters ningali kijana. Binti yule alikuwa mrembo sana na alikuwa anapenda sana kuolewa na kuhamia Tanzania lakini alinishinda kitabia mapema sana nikachana naye.
 
Hawafai labda uwe na bahati sana. Nilikuwa na uhusiano na mmoja wao wakati nafanya masters ningali kijana. Binti yule alikuwa mrembo sana na alikuwa anapenda sana kuolewa na kuhamia Tanzania lakini alinishinda kitabia mapema sana nikachana naye.
Aisee, shukrani kwa mchango wako comrade, Nini hasa ilikuwa changamoto ya binti huyo?
 
Back
Top Bottom