HODI HODIII JF

HODI HODIII JF

Joined
Feb 5, 2018
Posts
91
Reaction score
51
e07a79ccc47acbaa15c0bd9c98cd626e.jpg
habarini wana JF mimi ni member mpya humuuuuu mnikaribishe,,,, pia napenda kuwajulisha kuwa ni tabibu wa tiba asili
 
Karibu sana, kumbuka vitu hivi:
1. kila mmoja humu ni "mkuu".
2. Jiandae kukabiliana na mashambulizi ya maangamizi ktk koment au nyuzi zako.
3. kila mmoja humu ni wa level ya chuo kikuku.
4. Kila mmoja lazima ajionyeshe yeye wa " kishua" kama wewe hivyo.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Karibu sana, kumbuka vitu hivi:
1. kila mmoja humu ni "mkuu".
2. Jiandae kukabiliana na mashambulizi ya maangamizi ktk koment au nyuzi zako.
3. kila mmoja humu ni wa level ya chuo kikuku.
4. Kila mmoja lazima ajionyeshe yeye wa " kishua" kama wewe hivyo.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] ngoja nikalale kwanza nitarudi
 
Back
Top Bottom