Sulayman Sangida
Member
- Feb 5, 2018
- 91
- 51
Ahsante sana nimekaribiaKaribu
Sawa mkuu tunawasubiriKumekuchaaa ngoja waje
Itakua vizuri kama yupo mkuuNikupatie mchumba mwenye chura mkuu?
Mwambie aje pmNikupatie mchumba mwenye chura mkuu?
Shukrani sanaa, ili mnitambueTeh!naona umeamua kuweka picha
Karibu jeiefu
Mi mwenyewe huwa najiuliza ila sipati jibu ila naona kama sijakaa ila nipo juu ya kochi mkuuKwahiyo hapo umekaa ama?
[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] ngoja nikalale kwanza nitarudiKaribu sana, kumbuka vitu hivi:
1. kila mmoja humu ni "mkuu".
2. Jiandae kukabiliana na mashambulizi ya maangamizi ktk koment au nyuzi zako.
3. kila mmoja humu ni wa level ya chuo kikuku.
4. Kila mmoja lazima ajionyeshe yeye wa " kishua" kama wewe hivyo.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Naona umevaa suti ya mtumbahabarini wana JF mimi ni member mpya humuuuuu mnikaribishe,,,, pia napenda kuwajulisha kuwa ni tabibu wa tiba asili
Shida machuma yameota kutu mkuuNaona umevaa suti ya mtumba
Hivi umenitoloka we mwanamkeTeh!naona umeamua kuweka picha
Karibu jeiefu
naona tumeanza kucheza komborela tenaHivi umenitoloka we mwanamke
Unajificha wapi nataka tujifiche wote huko gizaninaona tumeanza kucheza komborela tena
kwa siku zote kuleUnajificha wapi nataka tujifiche wote huko gizani