Habari zenu wana jukwaa hili? mi mwenzenu ila nilikuwa kule jukwaa la siasa, nimeamua kuhamia huku kule kumenishinda kabisa, lile jukwaa limekuwa kama Bunge la Tanzania (majungu, kejeli, vijembe, matusi na mengine mengi) naombeni mnikalibishe pls!
Habari zenu wana jukwaa hili? mi mwenzenu ila nilikuwa kule jukwaa la siasa, nimeamua kuhamia huku kule kumenishinda kabisa, lile jukwaa limekuwa kama Bunge la Tanzania (majungu, kejeli, vijembe, matusi na mengine mengi) naombeni mnikalibishe pls!