gangster44
Member
- Dec 8, 2017
- 10
- 3
Karibu saaana Mkuu ila uwe na subira na moyo wa chuma
Maana majibu ya wananzengo wenzangu humu unaweza ukajutia kwa nini ulinunua simu
Karibu Pm nikupe mwongozo kidogo tu.
PM ni nini na iko wapi unapotaka kumfuata?Nikufuate ss au baadae
We ni mgeni huko PM unakomfuata unapajua kulivyo.Nikufuate ss au baadae
Kalibu Ila uwe na subira hasil weka pembenHabari zenu waungwana me sina mengi ya kusema ila ni kwamba me mgeni naomba mnikaribishe na mnipe mwongozo wa humu
Karibu sana mkuu. Mwongozo ni huu; 'za kuambiwa changanya na za kwako humu'Habari zenu waungwana me sina mengi ya kusema ila ni kwamba me mgeni naomba mnikaribishe na mnipe mwongozo wa humu
Me ni mgeni wa kujiunga humu ila ni mwenyej wa kusoma post na comment za members wa humu kw hy chocho zote nazijua mkuuWe ni mgeni huko PM unakomfuata unapajua kulivyo.
asante mkuuKaribu sana JF...........
Kodi tena ndugNjoo pm ulipie kodi
Jitahidi kuwa mpole, humu kuna vya watu!Habari zenu waungwana me sina mengi ya kusema ila ni kwamba me mgeni naomba mnikaribishe na mnipe mwongozo wa humu
kwa ilo tu mkuu me mbona cha mtu ctamanJitahidi kuwa mpole, humu kuna vya watu!