Suala la muda tu 🥲Chai tena, tunaipataje sasa?
Huyu mambo yake muachie mwenyewe....😁Sio karibu?
Oyaa usikurupuke humu hakuna pisi mzee..Mchumba Ke, aje wewe hapo mbona kama unafaa pia?
Hao wakutosha , kua makini na Upinde wapoHakika kaka ila nasikia kuna Masingo maza na Mashangazi.
Hatutaki ID za wenyejiMchumba Ke, aje wewe hapo mbona kama unafaa pia?
HahahahaHaya tuma salamu kwa watu watatu halafu uchague santuri ya wali na nyama