Naungana na wewe mkuu,mzee wa ma-interview na flowers leo ndio anapiga hodi?Account Yako imehackiwa ama
Hizi siku za karibuni umetoka Kwenye ile line Yako.Kivp baby
Nadhani Huu Ndio uhalisia wake Sasa.Naungana na mwanajf Kichwa Kichafu jana kuna comment yake alisema kuwa siku za hivi karibuni thread zako hazishabihiani na ulivyokuwa mwanzoni.
Vipi kuna tatizo muosha nanilino au? ahahahahahah
Hata jana alisema anataka yenye "maji"Ushaomba papuchi zote ndio unapiga hodi
Au labda kuna mtu kadukua mawasiliano yake?!!!Nadhani Huu Ndio uhalisia wake Sasa.
Muda utajieleza zaidAu labda kuna mtu kadukua mawasiliano yake?!!!
Au labda kuna mtu kadukua mawasiliano yake?!!!
Au labda huyu dada ndie kadukua mawasiliano yake!!Muda utajieleza zaid
Yule aliyekuwa anamuonea wivu Joseverest eti anajaza server?Amemuuzia yule dogo msumbufu ID yake.
Yule aliyekuwa anamuonea wivu Joseverest eti anajaza server?
hahahahahhahaahaha. may be, labda, perhaps, yawezekana ikawa kweli, hahahahahh
S kuna hii interview tunaisubiria ya kaka anaitwa..... sijui nani vilee kama Alibakari sijui vileeee (kwa sauti ya Mkude) hahahaahaJust kidding, lakini huyu dogo kiki za interview zimeisha kwa hiyo kila siku lazima atoe thread za kijinga jinga.
S kuna hii interview tunaisubiria ya kaka anaitwa..... sijui nani vilee kama Alibakari sijui vileeee (kwa sauti ya Mkude) hahahaaha