Mbina yaza
Member
- Apr 8, 2023
- 65
- 172
😁😁😁 Uchawa huoKaribu sana Una buku hapo?
Dume la mbegu, beberu, kama kuna mtetea nipo hapa tayari kuuzagamuaJinsia yako me or ke
Karibu jf
Siku hizi uchawa kazi😁😁😁 Uchawa huo
Mimi ni mgeni nakuja kwenu kwa unyenyekevu wa hali ya juu sana, kuomba msaada wenu wa kunikaribisha.
Nitashukuru sana kama mtanipokea na kunielekeza njia zakupita.
Jinsia yako me or ke
Karibu jf
Baada ya kuongeza umakini nimegundua, kuna mstari mwembamba sana kati yako na mwenyeji alie jisajili kwa ID mpya.Dume la mbegu, beberu, kama kuna mtetea nipo hapa tayari kuuzagamua
Kvp mkuuBaada ya kuongeza umakini nimegundua, kuna mstari mwembamba sana kati yako na mwenyeji alie jisajili kwa ID mpya.
Nimeanza na alivyo jitambulisha, kisha nikapitia swali ulivyo muuliza, na nikahitimisha namna alivyo kujibu.Kvp mkuu
Ukawaza hii ni ID yangu mpya mkuuNimeanza na alivyo jitambulisha, kisha nikapitia swali ulivyo muuliza, na nikahitimisha namna alivyo kujibu.
Basi kwa uzoefu wangu hapa ndani nikajiridhisha kwamba huyu mgeni ni mwenyeji aliekuja na ID mpta.
Hapana mkuu...Ukawaza hii ni ID yangu mpya mkuu
Sawaa mkuuHapana mkuu...
Sihakuwazia wewe, bali nimequote swali ulilo muuliza na kisha nika ambatanisha namna alivyo kujibu ndipo nikahitimisha hayo nilio tangulia kuyasema
Wabheja sanaTuliho nkoyi Mbina yaza.