nipokeeni jamani mie mgen naombeni ushirikiano wa kila kitu humu
Mwambie haraka sana aje this way..... aje without kabisa. Chap chap sana!!!
nipokeeni jamani mie mgen naombeni ushirikiano wa kila kitu humu
Umeanza kupotea njia...... ulianza vizuuuuuuriiii......Aje without kabisa tena babu..? Ntaomba nije nae maana ukaguzi gani sasa huo.. kama alshababu wanataka kushambulia lol..
Hebu fafanua hapo kwenye kushirikiana kila kitu...
Khaaa, mbona vidume vikipiga hodi humu huwa hamvikaribishi kwa mbwembwe hivi?