Hodi jamfini

Msee Lekasio

Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
73
Reaction score
8
Hodi hodi hapa jamfini nduku sangu wana Jamii Forum. Ni mimi Mtansania mwensenu Msee Lekasio nimeamua kujiunga ili tuwese kubadilishana mawaso katika kuendelesa hili gurudumu la maendeleo ya nji yetu. Kama wanafyosema waswahili "kuku mjeni hakosi kamba mguuni" na mimi niko tayari kusikilisa na kujifunsa kutoka kwenu, hasa tukisingatia mbado siku chache tuelekee kwenye uchagusi mkuu. Naomba mnipokee kwa mikono miwili. Asanteni sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…