Hodi!
Mimi sio mgeni saaana hapa jamvini, ila nimechoka kukaa pembeni nikaamua kuwa mwanachama hai.
Nimesoma posts zenu na kuona wingi wa busara na hekina zilizomo hapa, nawapa BIG UP wote walio serious na issue zinazojadiliwa.
Naomba kufahamishwa sheria na taratibu za nyumba hii nisi misbehave please!
Mimi sio mgeni saaana hapa jamvini, ila nimechoka kukaa pembeni nikaamua kuwa mwanachama hai.
Nimesoma posts zenu na kuona wingi wa busara na hekina zilizomo hapa, nawapa BIG UP wote walio serious na issue zinazojadiliwa.
Naomba kufahamishwa sheria na taratibu za nyumba hii nisi misbehave please!