P Pacman Member Joined Dec 26, 2015 Posts 6 Reaction score 1 Dec 26, 2015 #1 Wastaarabu, Waungwana na wana Hekima nawasabahi na naomba Kuwait mmoja wenu humu jamvini.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Dec 26, 2015 #2 Krb sana JF mjukuu wetu.
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 12,661 Reaction score 26,457 Dec 26, 2015 #3 Karibu sana...ila humu jiepushe na maandiahi ya ki-facebook kama x badala ya s na unapaswa kuandika maneno kamili
Karibu sana...ila humu jiepushe na maandiahi ya ki-facebook kama x badala ya s na unapaswa kuandika maneno kamili
P Pacman Member Joined Dec 26, 2015 Posts 6 Reaction score 1 Dec 26, 2015 Thread starter #4 lukesam said: Karibu sana...ila humu jiepushe na maandiahi ya ki-facebook kama x badala ya s na unapaswa kuandika maneno kamili Click to expand... Shukrani. Hayo nyumbani kwangu nilishayapiga marufuku, kama k badala ya ok.......sipendi kabisa!
lukesam said: Karibu sana...ila humu jiepushe na maandiahi ya ki-facebook kama x badala ya s na unapaswa kuandika maneno kamili Click to expand... Shukrani. Hayo nyumbani kwangu nilishayapiga marufuku, kama k badala ya ok.......sipendi kabisa!
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 12,661 Reaction score 26,457 Dec 26, 2015 #5 Pacman said: Shukrani. Hayo nyumbani kwangu nilishayapiga marufuku, kama k badala ya ok.......sipendi kabisa! Click to expand... Vizuri..ngoja nikupe ka "like" ka kwanza mkuu!:thumbup:
Pacman said: Shukrani. Hayo nyumbani kwangu nilishayapiga marufuku, kama k badala ya ok.......sipendi kabisa! Click to expand... Vizuri..ngoja nikupe ka "like" ka kwanza mkuu!:thumbup:
P Pacman Member Joined Dec 26, 2015 Posts 6 Reaction score 1 Dec 26, 2015 Thread starter #6 Thanks lukesam. Si wajua tena jamii na vijana wetu hawa walivyovalia njuga hizi swagger......kazi tunayo kwelikweli...
Thanks lukesam. Si wajua tena jamii na vijana wetu hawa walivyovalia njuga hizi swagger......kazi tunayo kwelikweli...