Hodi Jamvini Waungwana

Pacman

Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
6
Reaction score
1
Wastaarabu, Waungwana na wana Hekima nawasabahi na naomba Kuwait mmoja wenu humu jamvini.
 
Karibu sana...ila humu jiepushe na maandiahi ya ki-facebook kama x badala ya s na unapaswa kuandika maneno kamili
 
Karibu sana...ila humu jiepushe na maandiahi ya ki-facebook kama x badala ya s na unapaswa kuandika maneno kamili
Shukrani. Hayo nyumbani kwangu nilishayapiga marufuku, kama k badala ya ok.......sipendi kabisa!
 
Shukrani. Hayo nyumbani kwangu nilishayapiga marufuku, kama k badala ya ok.......sipendi kabisa!

Vizuri..ngoja nikupe ka "like" ka kwanza mkuu!:thumbup:
 
Thanks lukesam. Si wajua tena jamii na vijana wetu hawa walivyovalia njuga hizi swagger......kazi tunayo kwelikweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…